Kwa mara ya kwanza tangu Zimbabwe kunyakua uhuru wake 1980, wanajeshi wameonekana wakiungana mkono na waandamanaji kumtaka kiongozi wao wa muda mrefu Rais Robert Mugabe kuacha madaraka.
Wazimbabwe waungana na wanajeshi kumtaka Mugabe aondoke madarakani

1
Umati mkubwa wa Wazimbabwe kuwahi kuonekana wakielekea ikulu kumtaka rais wa muda mrefu Robert Mugabe kuacha madaraka Harare, Zimbabwe Saturday, Nov. 18, 2017.

2
Mabango yakieleza "Ni Lazima Mugabe aondoke" wakati wa maandamano ya kwanza ya wafuasi wa pande zote Zimbabwe.

3
"Wananchi wa Zimbabwe wanamtaka Mugabe kuondoka" ni bango linalobebwa na muandamanaji mmoja siku ya Jumamosi mjini Harare, Zimbabwe, Nov. 18, 2017.

4
Zimbabwe Political Turmoil