Taasisi ya Waislamu wa Amerika ya Ksakazini ICNA imeanda kongamano lake la kila mwaka mjini Baltimore, Maryland, kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu ya janga la COVID, Mkusanyiko huo ambao ndio mkubwa kabisa wa waislamu hapa marekani unahudhuriwa na zaidi ya wajumbe elfu 20 kulingana na watayarishaji wake. Kongamano hilo linawaleta pamoja wasomi wafanaya bishara waatalamu wa masuala mbali mabli pamoja na vijana, kujadili masuala yanaohusiana na maisha ya waislamu na changamoto zilizopo.
Kongamano la Waislamu wa Marekani na Canada ICNA lafunguliwa Baltimore
Zaidi ya watu elfu 22 wahudhuria kongamano kubwa kabisa la waslamu wa Marekani na Canada, linalofanyika kila mwaka na kusimamiwa na taasisi ya ICNA

5
Wajumbe wahudhuria kikako kuhusu masuala ya familia kwenye kongamano la ICNA

6
Wanafunzi wa mradi wa kujifunza kujenga Robot wakati wa mkutano wa ICNA

7
Ukumbi wa soko la biashara kwenye kongamano la Waislamu, ICNA mjini Baltimore, Maryland Mei 28, 2022

8
Mjadala kuhusu familia katika uislamu kwenye kongamano la ICNA, Baltimore, Maryland Mei 28 2022