Uchaguzi Mkuu wa Urais Kenya: Hali ilivyokuwa katika vituo vya kupiga kura
- Abdushakur Aboud

5
Watu wakiwa katika mstari kupiga kura kabla ya kufunguliwa kituo cha shule ya msingi ya Westland, Nairobi, Kenya

6
Rais Joaquim Chissano akiwa pamoja na wafuatiliaji uchaguzi wa taasisi za Marekani NDI na IRI wakiwa katika kituo cha shule ya msingi ya Westland mjini Nairobi, Kenya.

7
Wananchi wakipiga kura katika moja ya vituo vya upigaji kura katika uchaguzi mkuu wa urais nchini Kenya.

8
Willian Ruto and Raila Odinga