Matukio muhimu ya 2022 katika picha
- Abdushakur Aboud
Dunia yashuhudia matukio ya kihistoria mwaka 2022 kuanzia mabadiliko ya hali ya hewa, vita vya Ukraine, ughali wa maisha hadi nja na uhamiaji.

9
Majengo ya makazi mjini Mariupol yaliyoharibiwa na mashambulizi ya Russia nchini Ukraine

10
Wakazi wa Obagi, jimbo la River Nigeria wakikimbia mafuriko

11
Muandamanaji akata nywele zake kupinga sheria ya kuvaa hijab Iran kufuatia kuuliwa kwa Mahsa Amini