Papa Francis atembelea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo akiwa na ujumbe wa amani.
- Abdushakur Aboud
Papa Francis aliwasili Kinshasa Jumanne Januari 31, na kutoa wito kwa Jumuia ya Kimataifa kutojihusisha ndani ya masuala ya Afrika, na kuwaachia waafrika watanzuwe matatizo yao wenyewe.

9
Watoto wanaimba wakimkaribisha Papa Francis kwenye uwanja wa Ndolo.

10
Papa Francis akutana na waumini kwenye kanisa la Apostolic Nunciature, mjini Kinshasa.