Mafuriko yaliyosababishwa na kimbunga Doksuri kusini mashariki ya Asia
- Abdushakur Aboud
Watu 20 wamefariki nchini Uchina na zaidi ya watu 350 000 wamehamishwa kufuatia mafuriko yaliyotokana na moja wapo ya vimbunga vibaya kutokea kusini Mashariki ya Asia.

5
Magari yaliyozamani kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua za siku nyingi kufuatia kimbunga cha Doksuri jijini Bejing.

6
5Dereva asukuma tuktuk yake katika barabara ya Karachi, Pakistan iliyofurika na maji ya mvua kutonana na mvua za monsoon.

7
Wakazi wa mtaa mmoja mjini Bejing, China wasubiri kupata majibaada ya mvua nyingi kuharibu huduma za maji.

8
Watu wanakula na kunywa barabarani katika mji wa Balagtas, jimbo la Bulacan, nchini Ufilipino kufuatia mafuriko yaliyotokana na mvua nyingi zilizosababishwa na kimbunga Doksuri.
Forum