Maandamano na mapigano baada ya wanamgambo wa Hamas kushambulia Israel
Mapigano makali yameripotiwa kati ya jeshi la Israel na wapiganaji wa Hamas, siku ya pili baada ya wanamgambo hao kuishambulia Israel. Maandamano ya kuunga mkono pande zote mbili yamefayika katika miji mbali mbali ya dunia.

9
Moto mkubwa umewaka na moshi umetanda hewani katika mji wa Gaza baada ya jeshi la Israel kudondosha mabomu siku ya Jumapili.

10
Wanajeshi wa Israel wakipita katika eneo ambalo halikutajwa karibu na mpaka na Gaza wakati nchi hiyo imetangaza vita na wapiganaji wa Hamas. Oktoba 8, 2023.