Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Julai 09, 2025 Local time: 19:38

Al - Shabaab wauwa watu sita na kuchoma vijiji pwani ya Kenya


Al - Shabaab wauwa watu sita na kuchoma vijiji pwani ya Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Al-Shabaab wauwa watu sita na kuchoma vijiji pwani ya Kenya na msako mkali unaendelea nchini.

- Waziri Mkuu wa Sudan ajiuzulu na kuiweka nchi katika njia ngumu zaidi kurudi katika utawala wa kidemokrasia.

- Kenya yaomboleza kifo cha mwanamazingira maarufu na msomi wa mambo ya kale ya binadamu.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
XS
SM
MD
LG