Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Juni 08, 2025 Local time: 20:32

DRC yapiga kura kuchagua rais, wabunge na viongozi wa serikali za mitaa


DRC yapiga kura kuchagua rais, wabunge na viongozi wa serikali za mitaa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yapiga kura katika uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na serikali za mitaa Jumatano ambao umeshuhudia ucheleweshaji wa kufunguliwa vituo vya kupiga kura katika baadhi ya maeneo hali iliyozusha vurugu.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG