Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Juni 08, 2025 Local time: 18:56

DRC yasema iko tayari kwa zoezi la uchaguzi wa urais na wabunge Jumatano


DRC yasema iko tayari kwa zoezi la uchaguzi wa urais na wabunge Jumatano
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yajiandaa kufanya uchaguzi wa urais na wabunge Jumatano huku Tume ya Taifa ya Uchaguzi ikitangaza iko tayari kwa zoezi hilo.

Kenya na Umoja wa Ulaya wasaini mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi hii leo jijini Nairobi.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG