Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Novemba 05, 2025 Local time: 10:39

Wanamgambo wa kiislamu wavamia maduka ya westgate Nairobi

Mwishoni mwa wiki wanamgambo wanaosadikiwa kuwa al- shabab walivamia maduka ya kifahari ya westgate mall mjini Nairobi. watu zaidi ya 60 wamekufa na wengine zaidi ya 175 wamejeruhiwa.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG