Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Mei 18, 2025 Local time: 23:16

Israel na Hezbollah warushiana makombora katika mapigano makali


Israel na Hezbollah warushiana makombora katika mapigano makali
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Israel na wanamgambo wa Hezbollah wamerushiana makombora katika mapigano makali kwenye mpaka wa Lebanon na Israeli.

Abiria 23 wameuwawa kwa kupigwa risasi nchini Pakistani baada ya kutambuliwa na kuondolewa kwenye magari walipokuwa safarini.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG