Wachambuzi, wanaharakati na waandishi habari katika kanda ya Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini wanasema matumaini makubwa yaliyokuwepo kutokana na mapinduzi yaliyongozwa na vijana kuanzia Tunisia, kupitia Misri kuelekea Libya, Yemen na hatimae Syria, ya kupigania mageuzi ya kijamii, uhuru wa kisiasa na kujieleza yalitoweka muda mfupi tu baada ya kuanza.
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
- Abdushakur Aboud
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025
Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025
Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.