Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Juni 10, 2025 Local time: 00:43

Marekani yarejea wito wake wa Israel kulinda maisha ya binadamu wasiokuwa na hatia


Marekani yarejea wito wake wa Israel kulinda maisha ya binadamu wasiokuwa na hatia
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Wakati Israel inaendelea kupanua operesheni zake za kijeshi huko Gaza Jumapili, Marekani imerejea wito wake wa kulinda maisha ya binadamu wasiokuwa na hatia.

Mfalme wa Uingereza Charles III anaanza ziara yake ya siku nne nchini Kenya.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG