Rais Bush alifariki dunia siku ya Ijumaa iliyopita akiwa na umri wa miaka 94, takriban miezi minane baada ya kufa mkewe Barbara Bush. (AP Photo/Robert F. Bukaty)
Matayarisho ya maziko ya Rais mstaafu George H.W. Bush
Matayarisho ya maziko ya Rais mstaafu George H.W. Bush yakiendelea huko Texas kabla ya mwili wake kuletwa jijini Washington, DC, Marekani.

5
Bendera ya Marekani ikiwa inapepea nusu mlingoti mbele ya Bunge la Marekani ikiwa ni sehemu ya maombelezi ya kifo cha Rais mstaafu wa Marekani George H. W. Bush, mapema Desemba 2, 2018, mjini Washington.

6
Rais George H. W. Bush (kushoto) akiwa na Rais wa iliyokuwa Soviet Union Mikhail Gorbachev baada ya kumaliza mkutano wao na waandishi wa habari Moscow Julai 31, 1991

7
Sehemu iliyoandaliwa kwa ajili ya kumbukumbu ya Rais George H.W. Bush ikiwa katika eneo la njia ya wanaotembea kwa miguu, Makazi ya familia ya Bush kipindi cha joto, Jumamosi, Desemba 1, 2018, mjini Kennebunkport, Jimbo Maine.
Sehemu iliyoandaliwa kwa ajili ya kumbukumbu ya Rais George H.W. Bush ikiwa katika eneo la njia ya wanaotembea kwa miguu, Makazi ya familia ya Bush kipindi cha joto, Jumamosi, Desemba 1, 2018, mjini Kennebunkport, Jimbo Maine.

8
Kadi yenye ujumbe wa maombolezi ya kifo cha Rais George H. W. Bush