Rais Bush alifariki dunia siku ya Ijumaa iliyopita akiwa na umri wa miaka 94, takriban miezi minane baada ya kufa mkewe Barbara Bush. (AP Photo/Robert F. Bukaty)
Matayarisho ya maziko ya Rais mstaafu George H.W. Bush
Matayarisho ya maziko ya Rais mstaafu George H.W. Bush yakiendelea huko Texas kabla ya mwili wake kuletwa jijini Washington, DC, Marekani.

9
Mauwa na kadi zenye kuelezea kuwa Rais George H.W. Bush, aliyefariki Ijumaa kuwa ni mtu mwema.