Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Mei 06, 2025 Local time: 18:36

Marubani wa Kenya Airways wasitisha usafiri wa ndege na kukwamisha safari za abiria


Marubani wa Kenya Airways wasitisha usafiri wa ndege na kukwamisha safari za abiria
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:34 0:00

Waziri wa usafiri wa Kenya anawalaumu marubani kwa kutosikiliza mapendekezo ya serikali.

Abiria wengi kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta mjini Nairobi, wamewaambia waandishi habari kwamba hawakua na habari kuhusu mgomo huo hadi walipofika kuchukua ndege.

XS
SM
MD
LG