Mzigo wa magonjwa yanayochochewa na virusi barani Afrika.
Maambukizi ya virusi ni suala linaloleta wasiwasi duniani. Kulingana na ripoti za Shirika la Afya Duniani maambukizi yaliyopo kama vile COVID-19 yanaongezeka mara kwa mara huku kukiwa na changamoto zinazoendelea kama vile HIV na homa ya ini hasa katika nchi za kipato cha chini na cha kati.
Matukio
- 
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
 - 
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
 - 
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
 - 
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.
 
Forum