Sherehe hizo zimefanyika chini ya ulinzi mkali na imara nje ya ngazi za Bunge la Marekani, Washington, Januari 20, 2021.
Sherehe za kuapishwa Rais Joe Biden na Makamu Rais Kamala Harris
Joe Biden ameapishwa Jumatano kuwa Rais wa 46 wa Marekani pamoja na Makamu Rais Kamala Harris, Seneta wa zamani Baraza la Seneti la Marekani.

5
Rais mteule Joe Biden na Makamu Rais Kamala Harris wakati wakijiandaa kuapishwa nje ya Bunge la Marekani, Washington, U.S., January 20, 2021. REUTERS/Brendan McDermid

6
Rais Joe Biden akila kiapo kuwa Rais wa 46 Marekani, Januari 20, 2021. Saul Loeb/Pool via REUTERS

7
Kamala Harris akila kiapo kuwa Makamu Rais wa Marekani, nje ya Bunge la Marekani, Washington, U.S., January 20, 2021. REUTERS/Kevin Lamarque

8
Makamu wa Rais Kamala Harris akifurahia kuapishwa kwa Joe Biden kuwa Rais wa 46 wa Marekani. REUTERS/Brendan McDermid