Hata hivyo Iran imekuwa ikikosolewa kutoka ndani na nje ya nchi kwa mauaji ya raia wake ambao wamekuwa mstari wa mbele kuikosoa serikali. Maandamano haya yanafanyika nje kidogo ya Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York, Marekani ambapo mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linaendelea. Picha na mwandishi wetu Idd Ligongo
Waandamanaji wajitokeza nje kidogo ya Makao Makuu ya UN kulaani uvunjifu wa haki za binadamu unaoendelea Iran
Maandamano yafanyika kupinga serikali ya Iran kwa kile kinacho elezwa kuwa uvunjifu wa haki za binadamu.

1
Maandamano kupinga serikali ya Iran, New York, Marekani

2
Maandamano kupinga serikali ya Iran, New York, Marekani

3
Maandamano kupinga serikali ya Iran, New York, Marekani

4
Maandamano kupinga serikali ya Iran, New York, Marekani