Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Mei 06, 2025 Local time: 09:30

Wafanyabiashara wa Soko la Kimataifa la Kariakoo wamesisitiza msimamo wao kutofungua maduka


Wafanyabiashara wa Soko la Kimataifa la Kariakoo wamesisitiza msimamo wao kutofungua maduka
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wafanyabiashara wa Soko la Kimataifa la Kariakoo nchini Tanzania wamesisitiza msimamo wao wakutofungua maduka kutokana na changamoto zinazowakabili.

- Ukraine imetangaza Jumanne imetungua makombora sita yenye nguvu ya Russia ikizuia silaha kubwa ambapo hapo awali hazikuweza kuzuilika.

XS
SM
MD
LG