Wanariadha wa Afrika watiafora kwenye mashindano ya Mabingwa wa Riadha Duniani Oregon, Marekani
- Abdushakur Aboud
Mashindano ya Mabingwa wa Dunia yafanyika Eugene, Oregon Marekani ambako wanariadha kutoka nchi za Afrika wanafanya vizuri.

5
Nusu finali ya mbiyo za mita 1500 za wanawake, Eugene< Oregon

6
Letesenbet Gidey, wa Ethiopia anyakua medali ya dhahabu mbiyo za mita 10,000 akifuatwa na wakenya Hellen Obiri na Chelimo Kipkemboi

7
Emily Wamusyi Ngii wa Kenya akishiriki kwenye finali ya mashindano ya kutembea Km 20, wanawake mjini Eugene, Oregon Marekani

8
Mbiyo za mita 3000 katika mashindano ya Mabingwa wa Riadha Duniani