Joto la uchaguzi Kenya lazidi kupamba moto

Your browser doesn’t support HTML5

Joto la uchaguzi nchini Kenya linazidi kupamba moto huku vifaa vya uchaguzi vikisambazwa kwenye maeneo husika...

... Tahadhari zinatolewa kuwataka wananchi kuwa makini katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu.

- Kundi la wanawake bungeni Kenya na kampuni kuu ya mtandao ya Google wameungana na kuanzisha kampeni za kukomesha unyanyasaji...

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.