Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
Washirika wa maendeleo waahidi kuwekeza $ bilioni 30 kutekeleza mikataba ya Afrika
Your browser doesn’t support HTML5
Washirika wa maendeleo wameahidi kwa pamoja kuwekeza dola bilioni 30 katika utekelezaji wa mikataba ya Afrika, utoaji wa chakula na kilimo katika kipindi cha miaka mitano.