Zoezi la kuwaondoa raia wa kigeni nchini Sudan laendelea

Your browser doesn’t support HTML5

Zoezi la kuwaondoa raia wa kigeni limeendelea Jumatatu nchini Sudan wakati nchi mbalimbali zinafanya utaratibu kuwaondoa raia wake na wafanyakazi wa kidiplomasia nje ya nchi

. -Wakazi wanaoishi katika maeneo yaliyokuwa chini ya utawala wa M23 nchini DRC ambayo kwa sasa yanasimamiwa na vikosi vya Afrika Mashariki waeleza wanapitia hali ngumu ya kimaisha.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari