Mamluki wa Wagner waendelea na shughuli zao barani Afrika huku maswali zaidi yakiibuka

Your browser doesn’t support HTML5

Huku rais wa Russia Vladmir Putin akikiri hadharani kwamba serikali yake imekuwa ikifadhili kundi la Wagner, mumluki wanaoongozwa na Yevgeny Prigozhinwanaendela na shughuli zao katika baadhi ya nchi za Afrika huku maswali yakiendelea kuibuka.