Manusura wa tetemeko la ardhi Morocco wanahitaji chakula, maji na malazi

Your browser doesn’t support HTML5

Manusura wa tetemeko baya zaidi la ardhi katika zaidi ya miongo sita nchini Morocco wanataabika kupata chakula, maji na malazi, huku zoezi la kuwatafuta waathirika likiendelea katika vijiji na miji mbalimbali.

Wamarekani wakusanyika kote nchini kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 22 ya mashambulizi ya kigaidi.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari