Afrika Kusini yasifiwa kwa kuingia kwenye fainali za Kombe la Dunia la Rugby
Your browser doesn’t support HTML5
Timu ya taifa ya Rugby ya Afrika Kusini imefanikiwa kuingia fainali ya michuano hiyo ya kombe la dunia baada ya kuishinda Uingereza kwa pointi 16-15 katika mchezo mkali na kusisimua ambao Uingereza walitawala kwa sehemu kubwa.