Nyumba zaanguka na magari kusambaa kote katika mji wa Kazanawa, Japan

Your browser doesn’t support HTML5

Athari za uharibifu wa mali uliotokana na tetemeko la ardhi na maporomoko ya ardhi Japan uliosababisha nyumba kuanguka na magari kusambaa.

Kiongozi wa chama cha upinzani nchini Korea Kusini achomwa kisu wakati akizungumza na waandishi wa habari

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari