Somalia yakataa kufanya aina yoyote ya mazungumzo na Ethiopia hadi mkatakaba wenye utata uvunjwe.

Your browser doesn’t support HTML5

Somalia yakataa kufanya aina yoyote ya mazungumzo na Ethiopia kuhusu mkataba wa Addis Ababa na eneo la Somalia lililojitenga la Somaliland, hadi mkatakaba wenye utata, kati ya Ethiopia na Somaliland, uvunjwe.