Wachezaji wa timu ya soka ya Ivory Coast wapewa zawadi nono ya pesa na nyumba za kifahari baada ya kushinda AFCON

Your browser doesn’t support HTML5

Wachezaji wa timu ya taifa ya soka ya Ivory Coast na kocha wao Emerse Fae walizawadiwa pesa na nyumba za kifahari katika hafla iliyosimamiwa na Rais wa nchi hiyo Jumanne kusherekea ushindi wao katika fainali ya kombe la mataifa barani Afrika.