Funzo aliloacha Rais mstaafu wa awamu ya pili Tanzania Ali Hassan Mwinyi alikuwa mweledi, mnyenyekevu kwa wengine na aliridhika na madaraka
Your browser doesn’t support HTML5
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.