Michuano ya walemavu 2024 katika fani mbali mbali inaendelea kushika kasi Paris nchini Ufaransa ambapo pia timu kutoka Afrika zinashiriki.
Your browser doesn’t support HTML5
Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.