Tunamulika umuhimu wa ufuatiliaji afya ya moyo.
Your browser doesn’t support HTML5
Magonjwa ya moyo yanaongoza katika sababu kuu za vifo duniani kote kama ilivyoripotiwa na Shirika la Afya Duniani. Takribani asilimia 32 ya vifo duniani katika mwaka 2019 vilitokana na magonjwa ya moyo.