Aliyemuua mpinga ubaguzi Chris Hani aachiliwa, maoni mseto yaibuka Afrika Kusini

Your browser doesn’t support HTML5

Maoni mbalimbali yaibuka baada ya Janusz Walus aliyemuua mwananchi wa Afrika Kusini ambaye alikuwa kiongozi wa vuguvugu la kupinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini Chris Hani.

Peru yamwapisha Rais wake wa kwanza mwanamke.

Walus alikuwa ametumikia tayari takriban miaka 30 ya kifungo chake cha maisha na hivi leo ameachiliwa huru kwa masharti magumu. Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.