Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
Baadhi ya majimbo Marekani yasonga mbele kudhibiti utoaji mimba
Your browser doesn’t support HTML5
Kufuatia uamuzi wa mahakama ya juu kufuta sheria ya serikali kulinda utoaji mimba nchini Marekani, baadhi ya majimbo yanasonga mbele na kuweka masharti zaidi kwa utaratibu huo au kufuta kabisa sheria hiyo.