Blinken ahudhuria kikao cha Baraza la Usalama cha UN kujadili hali ya Mashariki ya Kati

Your browser doesn’t support HTML5

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken yuko mjini New York leo kushiriki katika mkutano wa Baraza la Usalama, ngazi ya mawaziri kuhusu hali ya Mashariki ya Kati.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari