Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
DRC: Baadhi ya wagombea walaani utaratibu uliyotumika katika uchaguzi 2023
Your browser doesn’t support HTML5
Baadhi ya wagombea uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walaani utaratibu uliyotumika katika uchaguzi mkuu 2023 wakati wananchi wakiendelea kusubiri matokeo.