DRC: Papa Francis awaasa vijana kuwa waadilifu

Your browser doesn’t support HTML5

Akiendelea na ziara yake nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Papa Francis amewawasa vijana kuwa na uadilifu, kusamehe na kujenga ushirikiano kati yao.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari