DRC yapiga kura kuchagua rais, wabunge na viongozi wa serikali za mitaa

Your browser doesn’t support HTML5

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yapiga kura katika uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na serikali za mitaa Jumatano ambao umeshuhudia ucheleweshaji wa kufunguliwa vituo vya kupiga kura katika baadhi ya maeneo hali iliyozusha vurugu.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari