Dunia yaadhimisha siku ya kupinga matumizi ya tumbaku

Your browser doesn’t support HTML5

Dunia imeadhimisha siku ya kupinga matumizi ya tumbaku kwa matukio tofauti tofauti huku mataifa yakiweka mikakati ya kutokomeza matumizi hayo.

Baraza la Wawakilishi la Marekani linatarajia kupiga kura leo kuhusu sheria ya kusimamisha ukomo wa deni la serikali ikiwa imebakia wiki moja kabla ya serikali kukosa fedha za kulipa gharama mbalimbali.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari