Dunia yaadhimisha Siku ya Ukimwi, wito watolewa watu kujikinga na virusi

Your browser doesn’t support HTML5

Dunia yaadhimisha Siku ya Ukimwi kwa matukio mbalimbali huku wito wa kuendelea kujikinga na virusi ukiendelea kutolewa.

Wawakilishi wengine wa Afrika Morocco kwenye Kombe la Dunia wako uwanjani hivi sasa kupambana na Canada kutafuta tiketi ya kwenda kwenye 16 bora huko Qatar.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari