Hali ya wasiwasi yatanda Niger kufuatia ripoti za mapinduzi ya kijeshi

Your browser doesn’t support HTML5

Hali ya wasiwasi imetanda Niger kufuatia ripoti za mapinduzi ya kijeshi huku Rais wa nchi hiyo akiendelea kuapa kuilinda demokrasia

Rais wa Russia ameahidi ushirikiano wa dhati wa kiuchumi na nchi za Afrika.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari