Israel yatangaza mateka 13 wameachiwa huru na Hamas - CNN

Your browser doesn’t support HTML5

Israel imetangaza kwamba mateka 13 wameachiwa huru hadi wakati huu tunaenda hewani kwa mujibu wa shirika la habari la CNN.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari