Juhudi za kusitisha mapigano nchini Sudan zavurugika

Your browser doesn’t support HTML5

Milio ya risasi na milipuko imesikika mjini Khartoum katika siku ya 20 mfululizo siku ya Alhamisi na kuvuruga juhudi za kusitisha mapigano.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akiwa katika siku ya pili ya ziara yake Kenya ameipongeza nchi hiyo kwa juhudi zake za kuimarisha amani katika nchi jirani.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari