Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
Kenya: Kundi la watu kati ya 400 hadi 500 wawasili kila siku katika kambi ya Daadab
Your browser doesn’t support HTML5
Kati ya watu 400 hadi 500 wanawasili katika kambi ya Daadab kila siku kulingana na shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, wengi wakiwa wamelazimika kukimbia makazi yao Somalia kutokana na ukosefu wa mvua kwa misimu mitano mfululizo.