Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
Kenya: Kusogezwa kwa mjadala wa mswaada wa kifedha waibua maoni mseto
Your browser doesn’t support HTML5
Mjadala wa mswaada wa kifedha katika Bunge la Kenya umesogezwa mbele hadi wiki ijayo hatua iliyoibua maoni tofauti tofauti.