Kenya yabadili mfumo wa ufadhili wa masomo ya vyuo vikuu

Your browser doesn’t support HTML5

Kenya imebadili mfumo wa ufadhili wa masomo ya vyuo vikuu, miongoni mwa mabadiliko hayo ni kuondolewa ruzuku ya serikali kwa wanafunzi wa vyuo hivyo, kinyume na ilivyokuwa hapo awali.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari