Kenya yaomboleza kifo cha Mwai Kibaki

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza kipindi cha maombolezo na bendera kupepea nusu mlingoti nchini Kenya kufuatia kifo Ijumaa cha Rais wa tatu wa nchi hiyo, hayati Mwai Kibaki.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari