Kiongozi mkuu wa Iran asema yuko tayari kwa mashauriano mapya ya nyuklia na Marekani

Your browser doesn’t support HTML5

Iran imeonyesha nia ya kutaka kuanza tena mazungumzo ya nyuklia lakini imeashiria kutokuwa na imani na Marekani.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari